BOB JUNIOR KUPIGA COLLABO NA CHAMILLIONE

Staa wa Bongo fleva BOB jUNIOR anatarajia kutoa ngoma yake mpya aliyomshirikisha vizuri msanii kutoka Nchini Uganda Joseph Chamillione.Hatua hiyo imekuja baada ya msanii bob junior kutaka kuwapatia mashabiki zake kitu kizuri kutoka kwake

Maoni

Machapisho Maarufu