BEYONCE SI MJAMZITO...USHAHIDI HUU HAPA!!!!
Rafiki wa Beyonce ambaye pia ni mmoja kati ya members wa zamani wa kundi la Destiny's Child "Michelle Williams" atoa uwazii wa kusema ya kwamba mwanadada Beyonce sio mjamzito ki namna yoyote ile....hii ni kauli iliyokuja baada ya Msanii Beyonce kupost picha ikimuonesha yupo na ujauzito tumboni mwake.....ambayo iliwafanya watu kuhisi tofauti juu ya mwanadada Beyonce huenda akawa na ujauzito.Lakini member huyo wa zaman wa DESTINY CHILD amefafanua na kuweka uwazi wa mambo halisi kwa kusema nmaneno machache katika kipindi chao kinachoitwa "THE VIEW" Kwa kusema..........



Maoni
Chapisha Maoni